Magoli | Simba 3-1 Singida Grandes Estrellas | Liga Premier NBC 02/03/2023



Simba SC imepata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Singida Big Stars katika mchezo mkali uliopigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa. Magoli ya Simba yamefungwa Jean Baleke dakika ya 8, Saidi Ntibazonkiza dakika ya 21 na Pape Sakho dakika ya 63 huku goli pekee la Singida likitoka kwa Bruno Gomes aliyefunga kwa free kick dakika ya 35.

Camisetas PERU Información corporativa y noticias relevantes sobre Driblab, la consultora especializada en análisis deportivos especializada en fútbol.

Esta entrada ha sido publicada en Fútbol Internacional y etiquetada como , , , , , , , , , , , , , , , , , , , , . Guarda el enlace permanente.

28 respuestas a Magoli | Simba 3-1 Singida Grandes Estrellas | Liga Premier NBC 02/03/2023

  1. Zabroni Gimonge dijo:

    Tuongeze moja kama sakho

  2. Zabroni Gimonge dijo:

    Wakomeshe hao makape

  3. NICODEM SHELLO dijo:

    Mungu tunaomba umbariki chama

  4. George Peter dijo:

    Simba motoo

  5. Magoma Kabanja dijo:

    Tunaisubili Club Bingwa
    Kuna Watu Anasema Hatufiki Makundi Watajutia Tukifika Makundi na Robo na Nusu Fainal

  6. Abell Chilongola dijo:

    AZAM TV

  7. Angel Asenga dijo:

    Waoooh

  8. Benn Nyamubi dijo:

    Pape sakho ni mchezaji mwenye qult ya viwango vya Hali ya juu mwache2 aendelee kutupa Raha Wana Simba lakn huyu sakho ipo siku atakuja ua goli kipa maana so Kwa mashuti hayo hatal sana huyu mwamba bigup kakwe

  9. Peter Marwa dijo:

    Simba nguvu moja

  10. Hassani Kipusa dijo:

    POS🦁

  11. Stephen Ziro dijo:

    Mnaona tu goli la sakho ,Hilo la Gomez vipi wenzangu mbona kama hamtaki kukubali

  12. cjcjdisi dijo:

    НЕ ЧИТАЙ ЭТО!!
    Я ПРЕДУПРЕЖДАЮ…
    если ты это прочитал разошли это сообщение в 5 игр иначе твоя мама умрет через 2 дня!
    знаю что бред но не могу проигнорировать боюсь – вот нахера такое слать, а?
    Прошу прощения!

  13. mwamvua hussein dijo:

    Kweli waweza kufa kwa raha 😄mpira mtam sanaaaa

  14. ernest King dijo:

    Mpenja tunaomba jina jipya la baleke plz🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  15. zawadi wambura dijo:

    Sakho anajua Kama Ronaldo

  16. ADVENTURE TELEVISION dijo:

    nyie nyie nyie simba so pieces shet gus

  17. Clemence Lazaro dijo:

    Naliaakwafraaa sako wewweeee

  18. Majaynely Og dijo:

    Fhhj

  19. Omary Muya dijo:

    Ila iposiku mbape atauwa kipa au kupelekwa hospital jamni daaa nihatali

  20. Abdulahi Baroba dijo:

    Simba mabingwa msimu ujao

  21. Ignas Kapalata dijo:

    Kweli kocha mizuka mingi sana hata mim simuelew kidgo labda tusubilie mbele itakuwaje ,

  22. Remytory dijo:

    Mbona huyu kocha wetu mpya ni kama ana wenge au ni mimi ndo namuangalia kwa mawenge

  23. Joshua Rubenge dijo:

    Simba baba lao

  24. Yusra Yusra dijo:

    Simba raha Sana ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  25. Yusra Yusra dijo:

    Naipenda simba 🤗❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ hii nd simba. Ya ss

  26. Chacha Kehengu dijo:

    Huyu goalkeeper aibu zote ziwe kwake…!

Los comentarios están cerrados.