Magoli | Simba 3-1 KMC | NBC Premier League 19/06/2022



Simba SC imepata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya KMC, katika mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

KMC wametangulia kupata bao kupitia kwa Hassan Kabunda dakika ya 41 kabla ya Simba kuchomoa kwa goli la Kibu Denis dakika ya 52, kasha Pape Sakho akaongeza la pili dakika 63 na Henock Inonga akafunga hesabu dakika ya 66.

Camisetas Celtic Entérate de las últimas noticias del fútbol español y europeo. Con las principales novedades de la Liga y la Champions League.

Esta entrada ha sido publicada en Fútbol Internacional y etiquetada como , , , , , , , , , , , , , , , , , , , , , . Guarda el enlace permanente.

47 respuestas a Magoli | Simba 3-1 KMC | NBC Premier League 19/06/2022

  1. Deus Morris dijo:

    yanga ni wachawi msimu huu muite wachungaji waje kuwaombea wachezaji na timu kwa ujumla waliwaloga wachwzaji

  2. Msabi Marwa dijo:

    Respect

  3. chriss g dijo:

    Hii ndo simba ninayoijua mimi! Ile nyingine ya Pablo hapana!!

  4. Adiely David dijo:

    Adiely

  5. CHITUS?⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻⸻ dijo:

    Sex goal…

  6. Shaban Moringa dijo:

    Saf sana enonga back

  7. Jacklin Masawe dijo:

    Huwa sichoki kushamgilia Simba yangu

  8. Julius Isack dijo:

    Simba hatuna kombe ilaa mashabiki wanafuraia TEAM YAOO….hii ndio maana ya nguvu mojaa???❤️

  9. Levina Karoli dijo:

    Nampend kibu denic

  10. isaya henjewele dijo:

    nawaombea wachezaji wa simba waendage baselona na asenal

  11. benjj lifetechnologie dijo:

    Simba ikiwa haijalogwa na yanga inakua tamu balaa

  12. Chrispina Emmanuel dijo:

    Sex goal…

  13. Rashid Salehe dijo:

    yamefungwa magol ya champions league hakika ndo mechi bora msimu huu kwangu mimi najiuliza tu ingekua sakho anacheza ile timu ya wamang'ati sijui angepewa ng'ombe wangap goli hili mchezo bhana hauitaj hasira

  14. Sosoma Charles dijo:

    Makolo wanagombania nn sasa????

  15. Mansour Juma dijo:

    Pape Sakho Goli 1 assist 2. Good performance for him

  16. Kalisti Malkiadi dijo:

    Simba nguvu moja tushawazoea hao utopolo watapigwa ndani nje nakurudi nyumbn

  17. Kalisti Malkiadi dijo:

    Simba nguvu moja tushawazoea hao utopolo watapigwa ndani nje nakurudi nyumbn

  18. Halima Juma dijo:

    Et jamn pamoj na kwamb tumepotez ubingwa na si tumerizia juu ya hilo lkn huk utopolo mioyo yao inawauma simba ikpata matokeo mazur yn jamn kwel hilo jina limewafaa hayana akil kabsa

  19. Jema Nassoro dijo:

    Kwaiyo nyie mnagombea nn hahahaha

  20. Emmanuel Bonifas dijo:

    Baraka nakukubali mno bro mungu akujalie afya njema kila iitwapo leo unafanya kazi yako kwa ufanisi mzuri sana

  21. Albert Valentino dijo:

    Kwa moto huu was tatu tatu,kutwa Mara tatu,mnaokwenda nao sasa MAKOLO,hakika mnakwenda kutwaa ndoo ya Ligi kuu 2021/2022.

  22. Alice Nice dijo:

    Sasa uyi kavua jezi ya nini? ???

  23. Chief Majai dijo:

    Ukisitajabu ya kukosa ubingwa utaona ya mchezaji kuvua jezi

  24. Eddy Gonza dijo:

    Hahahahahaaaaaa ligi bado inaendelea kumbe

  25. Amina Babu dijo:

    Jamn ss watanzania hatun iman na watanzania wenzetu matola mech ya3 hiii kam skosei haja droop wall kufungwa kwani shida ipo wap jamb

  26. Fatma Ali dijo:

    Wafalme tupo lini young african

  27. HD MOVIES SWAHILI dijo:

    YANGA BINGWA

  28. ikrissa idrissa dijo:

    Ila warituloga sn mweee

  29. Venita RUGEMALILA dijo:

    Utopolo amepotelea wapi mchukua video

  30. Venita RUGEMALILA dijo:

    Bolinga ya Congo oyeeeeeeeee tamu samu,kichwa Cha kigaidi km magaidi wa MK 23 au hahaaaaa

  31. Venita RUGEMALILA dijo:

    INONGA oyeeeeeeeee yaaani kipimo chako cha KIMATAIFA

  32. Venita RUGEMALILA dijo:

    SACO anasema anatumia akili

  33. Venita RUGEMALILA dijo:

    Za SACO utaogelea usithubutu

  34. Venita RUGEMALILA dijo:

    Mzee wa uchebe hahaaaaa

  35. kijana wa ukweeli dijo:

    yes

  36. Vikesa Friday dijo:

    Walichokoza nyuki ????

  37. glory kapenja dijo:

    Kanifurahisha tu huyo dada aliye kwenye hilo bango baada ya Kmc kufunga tu akashangilia kwa kupiga makofi sana kibao kilivyogeuka sasa alienda kulilia chooni

  38. Nussura Gulumo dijo:

    Uyo sakho anacheza kwa mabeki wabovu

  39. Jacob Nduya dijo:

    What a goal ??

  40. baraka jkadu dijo:

    simba wapunguza point walizo achwa na mabingwa yanga hahahahahah

  41. Waseme Abdallah dijo:

    Acha tuburudike tunaipenda Simba

  42. MALIMA D TV dijo:

    https://youtu.be/GGNwjk2lvFY
    HII LAZIMA UCHEKE ??? GUSA LINK ????

  43. Patrick Peter dijo:

    Simba haina mbadala itabak kua simba tu

Los comentarios están cerrados.