Yanga SC 2-0 Polisi Tanzania | Highlights | NBC Premier League 22/06/2022



Makombora mawili kutoka wa Feisal Salum #Feitoto na Chiko Ushindi yaipa Yanga ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Polisi Tanzania, katika mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara #NBCPremierLeague uliopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

Camisetas URUGUAY Toda la información y última hora sobre Futbol gallego. Noticias, eventos, reportajes y artículos de opinión

Esta entrada ha sido publicada en Fútbol Internacional y etiquetada como , , , , , , , , , , , , , , , , , , , , , . Guarda el enlace permanente.

30 respuestas a Yanga SC 2-0 Polisi Tanzania | Highlights | NBC Premier League 22/06/2022

  1. Lucas Kadege dijo:

    Dijemaki

  2. Lucas Kadege dijo:

    Dijemac

  3. Hussein Chapa dijo:

    Asikwambie mtu yanga tamu

  4. ssj dijo:

    Like kwa mshery

  5. SINGANO MEDIA dijo:

    Good azam tv burudani kwa wote

  6. Scholar Haule dijo:

    I LOVE YOU YANGAAAAAAAAAAAAAAAAA BINGWAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA 2021-2022 MAKOLO MULI BWANJI

  7. vero Steve dijo:

    Mashallah! That's my team? , those are my home boys Mshery, kibwana &job am proud of you?? siwez kuelezea mapenz yangu mazito juu ya yanga ?

  8. Timoth Wambura dijo:

    hongera yanga

  9. safaris cbsi dijo:

    Nilitamka alipoondoka au kufurushwa ndugu Manara kwamba Yanga watachukua ubingwa msimu huu. Nina furaha isiyo kifani. Hongera Dar Young Afrikans.

  10. Kikore Mbajo dijo:

    Hiyo ndio Yanga Africa. ?????????

  11. D don Tz dijo:

    Yanga tamu nyie???

  12. Rashid Khamis juma dijo:

    huyu baca ni hatari

  13. Nayfty juma Nayfty juma dijo:

    Yanga bingwaaaa

  14. Teegana Ally dijo:

    Fanyen ukarabati wa pitch.. Pitch imechoka

  15. Gerald Oisso dijo:

    Yanga ni mot

  16. Gerald Oisso dijo:

    What a goal of fisal salum totoo actually all goal are fantastic

  17. Lanes Mkemwa dijo:

    Kwa kweli Simba ni wazuri sana Sehemu chache tu wamembwela na wapendasoka Wengi toka Msimbazi wanapongeza juhudi za Yanga Msimu huu. YANGA NI MOTOO

  18. Aviwa mwadin dijo:

    Nabi mechi hii uliwaambia wachezaji wapige mashuti tu

  19. Ngassa 1 Tv dijo:

    Maswala ya kupiiga makofi duh????

  20. ENG. LAZARO NGORO dijo:

    Pia anampa.makambo mechi chache na dkk chache

  21. ENG. LAZARO NGORO dijo:

    Chiko kwani alikua na shida gani kwa sbabu hakupewa mechi nyingi

  22. Josephine Joseph dijo:

    Hongera yanga Africa

  23. Benjamin Denice dijo:

    Ibrahim back n zaidi ya inonga

  24. Alex sangandele dijo:

    Bacca ni hatari.

  25. Maiko Kapelo dijo:

    Wape.saramu.yanga.tamu.kaka

  26. Amina Kingazi dijo:

    Yanga ??????

  27. Boas Kabate dijo:

    Ibrahim Bacca ni moto wa kuotea mbali pale centre half. Kama mchezaji asiyepata namba anafanya mazoez mara mbili ya yule anayepata namba, bas Bacca anafanya mara 4. Tackling zake zmeenda shule, smooth tackling. Amekuwa bora sana kwny kujiamin na kuanzisha mashambulizi. Bacca mtu na nusu, Mungu amuhepushie majeraha. Ameziba vizuri pengo la Bakari Nondo Mwanyeto.

  28. Diana France dijo:

    Mayele asipofunga roho inaniuma ??

  29. Happiness Andrea dijo:

    ???yaan haiwagi feisal inakuaga feisaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Los comentarios están cerrados.